Saturday, October 22, 2011
WEEK TATU ZA KUVISHWA PETE YA UCHUMBA WEMA ABWAGWA NA DIMOND SABABU MAMA WA DIMOND
Msanii wa kizazi kipyaDimond amemtema rasmi mpenzi wake ambae ni msanii wa filamu za bongo Wema Sepetu.Habari zilizosibitishwa na waandishi wa habari ambazo walizipata moja kwa moja kwa mtu mzima Dimond,kweli kabisa ndugu waandishi nimeamua kuwaita na kuwaipa hii taarifa kwamba sipo tena na Wema japo nilimvisha pete week 3 zilizopita.Na sababu kubwa za kumuacha mrembo huyu ni kwamba ampendi mama yangu mzazi na hataki tukae nae pamoja anataka mama yangu nimrudishe tandale mm na yeye tuendelee kuishi Sinza.Kiukweli hili silikubali japo nampenda wema lakini mchezo na mama yangu mzazi sipo tayari kumtelekeza sababu ya mapenzi,kwani hata yeye Wema amesahau kwamba bila mama yangu yeye asingenijua,kwanza mama yangu amenizaa na amenilea kwa tabu baada ya baba yangu kunikataa nimepata shida na yeye mama yangu maisha yetu yote ya dhiki siku tunakula siku tunalala na njaa.Na huyo huyo mama yangu ndio niliomuibia pete yake ya dhahabu nikapata pesa na kwenda kurecord nyimbo na mama yangu akanivumilia na kunipa baraka na mpaka nikatoka katika mziki sasa huu ndio muda wake wakula tunda la mwanae mzeya sasa vipi nimtelekeze sababu ya yeye Wema?sipo tayari kwa hilo ni bora nimuache yeye sio mama yangu nadhani nimeeleweka waandishi.Wema nae alipotafutwa na kupatikana alishindwa kuongelea hili na kusema sipo tayari kuliongea hili sipo sawa kwa sasa nitawatafuta mwenyewe.
Friday, October 21, 2011
TAARIFA YA MSIBA
Feruzi Ahmed Said (Mume wa Dorina) amefiwa na baba yake mzazi Mzee Ahmed Said leo alfajiri.
Feruzi anapenda aende nyumbani (Dares Salaam) haraka iwezekanavyo kuhudhuria mazishi kama atawahi. Ikishindikana aende kuhani.
Yeye na mke wake wanaleta ombi la msaada wa hali na mali kwa jumuia ya watanzania ili Feruzi aweze kwenda katika mazishi.
Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kumfikishia msaada huu kama una uwezo, tafadhali piga simu Na. 0722982865 (Feruzi) au 0737143048 (Dorina).
Kwa wale wataoweza kwenda kuwaona msiba uko, Konsolvägen 7, Hökarängen, (Green Line kwenda Farsta)
Watashukuru sana kwa msaada wenu.
KAMA KAWAIDA YETU MWENZETU ANAPOFIKWA NA TATIZO KAMA HILI NI WAJIBU WETU KUMKIMBILIA NA KUFARIJI,KWANI KESHO ITAKUA ZAMU YAKO WEWE AU MIMI PIA.TUNAOMBWA WOTE KWA PAMOJA TUPATAPO MUDA TUJITOKEZE NYUMBANI KWA MFIWA.
Feruzi anapenda aende nyumbani (Dares Salaam) haraka iwezekanavyo kuhudhuria mazishi kama atawahi. Ikishindikana aende kuhani.
Yeye na mke wake wanaleta ombi la msaada wa hali na mali kwa jumuia ya watanzania ili Feruzi aweze kwenda katika mazishi.
Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kumfikishia msaada huu kama una uwezo, tafadhali piga simu Na. 0722982865 (Feruzi) au 0737143048 (Dorina).
Kwa wale wataoweza kwenda kuwaona msiba uko, Konsolvägen 7, Hökarängen, (Green Line kwenda Farsta)
Watashukuru sana kwa msaada wenu.
KAMA KAWAIDA YETU MWENZETU ANAPOFIKWA NA TATIZO KAMA HILI NI WAJIBU WETU KUMKIMBILIA NA KUFARIJI,KWANI KESHO ITAKUA ZAMU YAKO WEWE AU MIMI PIA.TUNAOMBWA WOTE KWA PAMOJA TUPATAPO MUDA TUJITOKEZE NYUMBANI KWA MFIWA.
Thursday, October 20, 2011
MLOPELO AILALAMIKIA CLOUDS FM KWA KUITUPA UVUNGUNI NYIMBO YAKE MSIKIE MWENYEWE.
Kwa jina anaitwa Khalid ni msanii wa maigizo alishawahi kuigiza kipindi cha nyuma akiwa na kundi la kaole,Jamaa ni mkazi wa temeke wailes,mimi kumbukumbu zangu toka nipo mdogo nimemkuta kama alivyo hivi.Siku za karibuni alitoa malalamiko yake katika media kwamba amepeleka nyimbo yake clouds fm na imewekwa kapuni haipigwi.
Wednesday, October 19, 2011
Tuesday, October 18, 2011
Monday, October 17, 2011
SIO KAZI PEKE YAKE NA MAPUMZIKO MUHIMU.MJERU AKIWA MAPUMZIKONI UJERUMANI
Nakuonea gele mzazi kwa bata ulivyolila huko nchi za nje
Baba na mwana wakishow lv baada ya kutoonana kwa kipindi kidogo
Furaha kwa kwenda mbele si unajua damu yako
A.k.a Rick Ro...........
Hapa hamza akiwa na ba mdogo
Hahaha ebwana mtoto wa nyoka kweli nyoka
baba na mwana wakiwa katika mizunguko yao ndani ya jiji la munich
Kikwangua anga
Baada ya bata leeeeeeefu sasa tunarejea kulikoungua shoka mpini ukabaki kuendeleza libeneke la kutafuta mawe.
Baba na mwana wakishow lv baada ya kutoonana kwa kipindi kidogo
Furaha kwa kwenda mbele si unajua damu yako
A.k.a Rick Ro...........
Hapa hamza akiwa na ba mdogo
Hahaha ebwana mtoto wa nyoka kweli nyoka
baba na mwana wakiwa katika mizunguko yao ndani ya jiji la munich
Kikwangua anga
Baada ya bata leeeeeeefu sasa tunarejea kulikoungua shoka mpini ukabaki kuendeleza libeneke la kutafuta mawe.
Subscribe to:
Posts (Atom)
