Sunday, February 19, 2012

MAWAZO JUU YA WANAUME NDIO YALIONIINGIZA KATIKA USAGAJI-JINI KABULA

Msanii aliyeibuka kwenye tamthilia Miriam Jolwa ,Jini Kabula anaelezea sababu iliomfanya kuingia katika usagaji ni mlundikano wa mawazo alioupata kutokana na kutendwa na wanaume.Kiukweli wanaume mda mwingine wanaweza kua chanzo cha wewe kufanya mabaya hasa baada ya kukuumiza.Ndio niliingia ktk huu mchezo kwangu ilikua ni kimbilio langu la kutoa mawazo kwa kutendwa na wanaume wa mjini hasa hapa dar,lakini namshukuru mungu kwa sasa nimeacha hili swala na nimemrudia mungu wangu kwani nilikua namkosea sana natumaini atanisamehe kwani mimi binadam nisiekamilika.

Saturday, February 18, 2012

WITNEY HOUSTON AZIKWA LEO

                                        Jeneza la witney houston
                                                         Gari iliobeba mwili wa Witney
 Mume wa zamani wa Witney Bob Brown akiingia ktk gari yake na kuondoka sehem ya kanisa ambapo aliagwa mzazi mwenzie huyo.Mshkaji alishindwa kuingia kanisani kwani familia haikumtaka awepo ktk mazishi ila kiubishi aliudhulia nje na bdae kuondoka.

              Hapa Boby Brown akiwa ktk sura ya huzuni nje ya kanisa aliloagwa mama mtoto wake Witney

TUNDAMAN A.K.A CAPTEN HAPA KABILA FULANI UMEWAKAMATA.

Monday, February 13, 2012

HAPPY BIRTHDAY TO YOU NAGMA

TATOO ZA LULU ZAWASUMBUA MAPEDESHEE WA DAR

UKIONA MATESO YANAZIDI JUA UKOMBOZI UPO NJIANI

DAR LIVE YAZIDI KUWASHA MOTO KILA SIKU

                             MSHIRIKI WA IMBA,VAA,CHEZA KAMA RIHANNA
                 AY  NA MWANA FA WAKIKAMUA VILIVYO NDANI YA DAR LIVE

                         TWANGA PEPETA KISIWA CHA BURUDANI WAKIKAMUA
                                 WASHILIKI WA IMBA,VAA,CHEZA KAMA RIHANNA
                                 WATOTO WA KIUMENI WAKIKAMUA UWANJA WA NYUMBANI
                                             DOGO ASLEY WA KIUMENI