Thursday, October 13, 2011

KAMERA YA BLOG ILIPOGONGANA NA OLLE,MSHIRIKI WA IDOL 2011 SWEDEN KATIKATI YA JIJI LA STOCKHOLM

                         
                                          Pamoja
      Mwenyewe OLLE amesema kesho ndio fainal ambayo ijumaaa na tv4 wataonyesha mtanange mzima usikose kumtazama kijana mwenye sauti yenye kipaji.

Wednesday, October 12, 2011

HAPPY BIRTHDAY 2U LILIAN NYAKISINDA


                       
                                                         Bata looooote lilifanyika humu

                                   moja,mbili,tatu happy birthday 2uuuuuuuuuuuuu!


                                                    Cheda ndani ya bata lakufa mtu

                                   Mkubwa Chaz Ndaba na mkewe ndani ya nyumba

Darstockholm na wadau wote tunakutakia maisha marefu yenye kheri ndani yake amen.

Monday, October 10, 2011

LULU POMBE HAUZIWEZI NAKUSHAURI UNYWE TOGWA

                               Hapa kabla ya kupombeka akiwa na shostito wake
                            Hapa akiingia ndani ya club billicanas kula bata
                                Pombe sio chai dada nakushauri unywe togwa tuuu
                             Hata sio wa moyoni wake ila pombe ilimtuma
                                                           Gari limezimika tayari
                                   Kwa hali hii sijui kama alisalimika na watoto wa mjini

Saturday, October 8, 2011

HAKUNA SHABIKI ILIOMUACHA KUMBAMBA HII NGOMA YA KIUMENI NILIPOZALIWA MWANAUME ISIKILIZE.TEMBA FT D.SYKES NAMPENDA YEYE.

Kiukweli kabisa katika ngoma ambayo ilinifanya niwe shabiki mkubwa wa Amani Temba ni hii nampenda yeye,na kama uamini kwanini ilibamba watu mpaka Temba akajizolea mashabiki lukuki play hii ngoma kisha ongeza sauti usisahau kuongeza bass.Nadhani hapo utajua kwanini ilibamba watu na Amani temba mtoto wa chang´ombe unubini alijizolea sifa nyingi kwa nyimbo hii kutokana na ubunifu wa mashahiri,moja ya kipande cha mashahiri yake kilichobamba watu pale aliposema MIDA ILIPOFIKA UMEME SI UKAKATIKA! UTADHANI TANESCO WALIJUA KAMA LEO MIMI NITAUA,ULIPOKUJA KUWAKA TUMECHOKA NYAKA NYAKA.
Na mtu mmoja ambae yupo hapa sweden bila kubisha ilimbamba na hata sasa akiitazama itambamba tena ni Charles Gabriel a.k.a GABU huyu mtoto wa chang´ombe unubini yupo pale goteborg.

SIKU DIMOND ALIVYOMVISHA PETE MPENZI WAKE WEMA,SIKIA HAPA WENYEWE WANALIZUNGUMZIAJE TUKIO HILO

SHEREHE YA KUZALIWA KWA DIMOND NA PIA ALIITUMIA KUWAAMBIA WATANZANIA KWAMBA WEMA SEPETU NI WA KWANGU KWA KUMVISHA PETE,PICHA NDIO MSEMAJI MKUU











 Mpango mzima ulikua hvi ndani ya new maisha club kwa wapendwa hawa.Kwa hisani ya mateja20.