Sunday, February 19, 2012

MAWAZO JUU YA WANAUME NDIO YALIONIINGIZA KATIKA USAGAJI-JINI KABULA

Msanii aliyeibuka kwenye tamthilia Miriam Jolwa ,Jini Kabula anaelezea sababu iliomfanya kuingia katika usagaji ni mlundikano wa mawazo alioupata kutokana na kutendwa na wanaume.Kiukweli wanaume mda mwingine wanaweza kua chanzo cha wewe kufanya mabaya hasa baada ya kukuumiza.Ndio niliingia ktk huu mchezo kwangu ilikua ni kimbilio langu la kutoa mawazo kwa kutendwa na wanaume wa mjini hasa hapa dar,lakini namshukuru mungu kwa sasa nimeacha hili swala na nimemrudia mungu wangu kwani nilikua namkosea sana natumaini atanisamehe kwani mimi binadam nisiekamilika.