Tuesday, April 17, 2012

FC KILIMANJARO KESHO INAJITUPA UWANJANI KUANZA LEAGUE

Team ya Fc Kilimanjaro kesho siku ya jumatano tarehe 18-04-2012 inaanza kwa kutupa karata yake ya kwanza toka isajiliwe rasmi ktk league daraja la chini hapa sweden.Fc Kilimanjaro itakipiga katika uwanja wa knutby bp,rinkebysvängen saa mbili usiku(20:00)Wachezaji na mashabiki mnaombwa kufika mapema.