Monday, April 23, 2012

KESI YA LULU YASOGEZWA TENA MPAKA MEI 7 ARUDISHWA RUMANDE

 Msanii Elizabert Michael mwenye dira jekundu (LULU)akiwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la magereza,tayari kuelekea kutajwa kesi yake inayomkabili ya mauaji ya msanii Steven Kanumba.
                                Chini ya ulinzi mkali sana mtuhumiwa Lulu
Mtuhumiwa alipandishwa mahakani kwa kutajwa kwa kesi yake hiyo ambayo upelelezi wake haujakamilika.Kesi hyo itasomwa tena mei 7