Thursday, October 27, 2011

MKAZI WA KAWE JIJINI DAR AJINYONGA,SABABU NI MFARAKANO NA MKEWE

 Mkazi mmoja maeneo ya kawe jiji dar amekutwa chumbani kwake amejinyonga na kufa,mkazi huyo wa kawe ametambulika kwa jina la Barnabas habari za karibu zilielezwa jamaa alijinyonga kutokana na mifarakano na mkewe.

Hapa maiti ya bwana Barnabas ikiingizwa katika gari la polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi juu ya kifo chake.
   Habari kwa hisani ya unique entertainment.