Thursday, June 21, 2012

FC KILIMANJARO YAFANYA MAUAJI KWA TIMU YA CHILE 13 KWA 2

            Kikosi kamili cha fc kilimanjaro wakiwa na mlezi kaka Liban
     Capten mstahafu Jj akiwa na Capten mpya Abui

     Capten Abui Fuad na mfumania nyavu hatari wa Fc Kilimanjaro Abuu Mkangwa  a.k.a mvuvi
    Edger Davids miwani hyo kwani mwisho wa kuivaa ujaisha!
     Hapa Fc Kilimanjaro wakiwa mapumziko tayari kwa kupata mawaidha.
      Meneja Nyupi
     Naona benchi la ufundi liliongozwa mchezaji wa kimataifa Machupa
      Baada ya kushusha kipigo kinachofata ni kuwapa pole
                          Majembe ya Fc Kilimanjaro