Wednesday, June 20, 2012

IPO KWA FUNDI

Wadau wangu tuvumiliane kidogo kwa ukimya blog yetu ipo kwa fundi kidogo kwa ajili yakuiboresha zaidi,muda c mrefu nitawarushie nitakavyovikamata.Ila nitakua nadokoa dokoa huku tukimwachia fundi akifanya kazi yake.

Na wale wadau wangu wenye tukio nitumie kwa email binkaramabr@Yahoo.com nitalitundika bila kujali hunipendi au sikupendi tofauti zetu nje ya blog hii ni yetu wote.