Wednesday, June 13, 2012

MAOJIANO JUU YA MAISHA NA VIJANA WENYE NDOTO ZAKUFIKA ULAYA NDANI YA TIMES FM

                                 umakini unahitajika kiukweli kuzungumza kwenye media
                                 Mshkaji mkali sana katika mix alinivuta nichungulie
                                 Jabir big jah akiteta jamb na dj wake


     Niliongozana na swahiba Rama Rado a.k.a kichomi mpitie ktk temekepamoja.blogspot.com
                     Nikipewa maelekezo juu ya mitambo na ufanyaji wake kazi
     Ikafika muda wa kushow love hapa dada wa kipindi cha mapenzi kinachoanza kila sa nne ya bongo
Wadau wangu kiukweli si kazi ndogo kuzungumza katika media ambayo watu dunia nzima wanakusikia,nilijitahidi kadri ya uwezo wangu nadhani kwa wale mlionisikiliza mmesikia the way nimeongea.Sema ilikua hatari pale nilipoambiwa nitoe ushauri juu ya vijana wenye ndoto zakwenda ulaya nilitamani niseme wasije lakini je wangenielewa pale wangeniona mm nilivyo kwa sasa.Niliwashauri wajipange na maisha popote ila siri ya jandoni apewi asieingia jandoni na huondo wa ngoma ingia ucheze.