Tuesday, January 31, 2012

MUHESHIMIWA MWAKYEMBE VIPI HIZO SWAGGA ZA MIKONONI DAR ES SALAAM BARIDI KALI SANA?

Naibu waziri wa ujenzi na mbemge wa kyela mkoani mbeya Dr.Harrison Mwakyembe,akitoka kanisani kawe jijini Dar es salaam akiwa ametupia swagga flani mikononi ambazo nchi za baridi uvaa kwa ajili ya kujizuia baridi isiwapate mikononi.