Wednesday, January 25, 2012

WAETHIOPIA WALIOINGIA TANZANIA KINYUME CHA SHERIA WAKAMATWA NA UAMIAJI MOROGORO

 Hapa wakishuka katika gari kuelekea mahakamani kusoemwa mashitaka yao watuhumiwa hao wapatao 97.
Raia wa ethiopia wakiwa chini ya ulinzi baada ya kukamatwa kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria.
    kwa hisani ya kajuson.