Monday, October 29, 2012

HILI NI TANGAZO KWA WALE WATZ WOTE MLIOZOEA MATRAIN HUKO NCHI ZA NG'AMBO,BONGO PIA USAFIRI WA TRAIN KTK MKOA WA DAR UMEANZA RASMI

                                     Train likichanja mbuga katikati ya jiji la Dar
                  Na vituo vikiendelea kutengenezwa ili usafiri kua bora zaidi na zaidi.
     Hapa wakaguzi wa tiket wakiwa kazini kuakikisha hakuna bule lazima ulipe nauli.
 Mandhali mazuri kabisa ndani ya train,seat ndio vile vile kama za matrain ya ulaya wadau.

Hakuna kusukumana wala nini na gazeti unasoma,haya ndio maendeleo tuliokua tunayaota kila kukicha nchini kwetu.Ila mnatakiwa kujua hii kwa wale waishio Dar tu mikoa mingine itafata taratibu.