Monday, October 1, 2012

WAKONGWE WA TMK SQWAD WALIPOWAADHIBU VIJANA 1 BILA

  Hii ni team ya wakongwe wa tmk sqwad nimekosekana mimi tu hapa na ubavu wangu wa kulia,nikianza kushoto ni Kasimu,Selemani,Sadala Msawila,Salum testa,Kitumbua,alioinamisha kichwa   sijamjua,Peter mkwela,anaefata mh mgeni huyu,Abeid mvuma,Babu Haruna,Hamza kilaya,anaecheka mmbaya sana ni ana a.k.a kibao jonathani akpobolie au Wiltod kicheko,salumu,Hamad Bancheja alioinama ni nyanda wetu David.Kiukweli hapa hatumwi mtoto dukani.
 Huyu Hapa Abeid Mvuma sasa hivi amejiachia sana zamani hatari ila usidanganyike na tumbo mwepesi kuliko karatasi na anakulalia.
Hiki kikosi cha vijana naona kuna vizazi vipya wengine siwajui nikianza kushotoni John,Kabange jr,simjui,Salehe Pasua,Simjui,Golikipa jina limenitoka kidogo wadau.Waliochuchumaa kulia ni Mabruki,Simjui,Etoo,Simjui,Bone.
Kiukweli mazoezi na hawa watoto hayaishagi bila ugomvi tumeshazoea wenyewe na kila ijumaa inakua fainal.
Kwa picha zaidi ingia www.temekepamoja.blogspot.com