Sunday, October 21, 2012

LORD EYES WA NAKO 2 NAKO AIBA VIFAA VYA GARI YA OMMY DIMPOZ NAKUIACHA FUVU

 Hapa Lord Eyes akipewa kichapi kidogo baada yakukamatwa kwa wizi huo wa vifaa vya gari ya Ommy Dimpoz.Dah kwa kweli inatia aibu na kuhuzunisha kwa msanii kioo cha jamii kama huyu kuwa mwizi.Sijui nini kimemsibu huyo mtaalam wa Hip Hop ya bongo.
                           Hapa gari ya Ommy Dimpoz ikiwa imebakizwa fuvu na mzee mzima Lord Eyes.
                         Hapa akiwa aamini kama amekamatwa dah noma mzee,punguza madawa urudi kwenye game upige pesa kibaji unacho mtu wetu.
                     Hapa akificha sura yake kukwepa camera lakini zimempata unacheza na camera wewe.