Saturday, May 28, 2011

BARCHELONA MABINGWA KLABU BINGWA ULAYA 2011

 Kiukweli asiekubali kushinda siku zote si mshindani na ukweli usiofichika jamaa wamecheza mpira wa hali ya juu sana,hakuna chochote chakusingizia ongera sana Barca.
 Van der sar akiruka bila mafanikio na mpira kutinga wavuni.
 Katika kitu kisichofichika katika ulimwengu wa mpira huyu mtoto anafaa kuogopwa hata kuliko simba,kwani anaweza kufanya lolote anapokua uwanjani na ndio alichokifanya leo.
 Wayne Rooney akijaribu kuipa uhai manchester united kwa kusawazisha goli lakini mambo hayakua kama alivyotegemea na matokeo yake mpaka mechi inakwisha uzuni ulikwenda old trafford.
Poleni sana team nzima ya manchester na mashabiki wake ndio mpira.