Tuesday, May 31, 2011

ALIOKWAMBIA ULAYA HAKUNA WAUZAJI WA VITUMBUA NANI?

Katika pita pita zangu week end mitaa ya stockholm  nikakuta sehem vibanda vingi na kila kibanda kina biashara zake, ila nilivutiwa na kibanda hiki na nikasogea karibu kutazama nikagundua kinachopikwa hapa ni vitumbua ila tofauti inaonekana katika vifaa ila wanageuza na kuweka mafuta kama vile anavyopikaga mama vyakuuza kule Tanzania.