Monday, May 23, 2011

MASTAA WA BONGO MOVIE NDANI YA JIJI LA MWANZA KTK MECHI YAKIRAFIKI

 Kikosi kizima cha bongo movie wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mechi.
 Hapa naona kikosi kizima cha netball cha wanadada wa bongo movie wakipata picha ya pamoja wakiongozwa na capten wao Jackline Wolper.
 Wema Sepetu nae ndani ya mwanza akijumuika na wenzie wa bongo movie,pembeni namuona capten wa netball ya bongo movie Jackline Wolper.
 Steve Nyerere na Wema Sepetu wakipata kinywaji taratibu.
 The greatest Ray na Jackline Wolper wakibadilishana mawazo
 Wana bongo movie wakiwa ndani ya basi.
Hisani Muya au Tino jina la kisanii akiwa na mrembo wa bongo movie.
Picha kwa hisani ya Ray the greatest.