Tuesday, May 31, 2011

HIZI SIO MILA NA DESTULI ZETU WATANZANIA JAMANI TUNAELEKEA WAPI?

 Akina dada wakilishana keki kwa kutumia midomo,jamani ndio uzungu au utandawazi?kipindi cha mwalimu nyerere hawa ni viboko kwa kwenda mbele.
 Haya muoneni Lulu nae mhh.Hvi kivazi kama hiki kweli unakivaa mbele ya baba yako inawezekana?ndo mwanzo wa baba kula kuku na mayai yake.

Wewe Lulu na hivi vinguo unavitoaga wapi?na bora unavyoishia kupiga navyo picha na kwenda navyo club,ebu jaribu siku moja kukatiza mtaa wa kongo na kivazi hichi nadhani hutorudia tena katika maisha yako. 
Jamani tunapotea jamani ndo nini hivi ebu wadau tusaidiane kweli watu wa jinsia moja wanashikana shikana kama hivi jamani?