Friday, May 27, 2011

DAKIKA 90 NDIO ZITAIPA MANCHESTER UNITED AU BARCELONA FURAHA

Siku ya leo dunia nzima ifikapo sa tatu kasoro ya usiku kila mmoja macho yake yatakua katika luninga kutazama fainali ya klabu bingwa ulaya kati ya Barcelona na Manchester United.Najua mashabiki wa pande zote wanahitaji kupata furaha kwa kuchukua kombe hilo,ila ukweli unabaki pale pale anatakiwa kupatikana mshindi na mshindwa.Najua mashabiki wakubwa wa manchester kama Kablau,Mkangwa,Mgiriki,Herry,Shekhan,Ahmed Nayal,Abdallah Ramadhani,Iddi Harambe,Kibabu woote wanalingoja kombe kwa hamu kubwa ila dakika 90 ndio zitatoa matokeo.
 Blog yako itakuletea picha zote za mechi hiyo baada ya kuisha.