Friday, May 27, 2011

WATOTO WA MJINI TWANGA PEPETA WALIVYOKAMUA BILLICANAS JUMATANO ILIOPITA.

 Hapa naona kikosi kizima cha akina dada wa twanga pepeta wakisugua kisigino hii style inanimaliza sana.
 Kama kawaida wakiwajibika kazini vijana wa twanga a.k.a watoto wa dar.
 Mashabiki nao hawakua nyuma kuakikisha wanakwenda sawa  naona full kujiachia.
Ebwana huyu anaitwa charlz baba a.k.a jembeeeeeee la twanga anajua sana huyu mtu ukitaka kuamini msikilize katika nyimbo ya mwana dar es salaam utakubali maneno yangu.Pia namkubali anaenda nayo sawa kazi yake akiwa jukwaani kwani muda wote upendeza kama hivi.
Picha kwa hisani ya kingkif.