Tuesday, July 26, 2011

KILIMANJARO YATOA KIPIGO KWA DJURGÅRDENS IF ACADEMY

 Majembe ya Kilimanjaro Fc yakiwa tayari kwa mtanange.
 Kikosi kamili cha Djurgården if academy
 Kama kawaida mashabiki walikuwepo kuakikisha team yao inafanya vizuri
 Jembe langu Cledo Mwaipopo a.k.a Zizzu akipasha misuli na mwanae Shekhan



 Kilimanjaro wakipasha misuli
 Michezo ni urafiki tosha hapa wachezaji wa Kilimanjaro wakifurahi kwa pamoja
 Picha ya pamoja

 Kikosi kamili kilichotoa kipigo cha goli 5 kwa 2

 Bechi la kilimanjaro
 Bechi la Djurgårdens if
 Makocha


 Kila jinsia ilikuwepo kutazama burudani



 Chedazz,Mgiriki na Hamis Abui wakishow love baada ya game
Baada ya mechi watu walisalimiana kuonyesha ishala ya upendo.