Saturday, August 18, 2012

PETIT MAN WAMUACHE KUTOKA KITAA MPAKA UMENEJA WA MWANAMZIKI

Katika maisha hakuna kinachoshindikana bwana na wala usiogope ukiona watu wapo tayari kukuangusha kila unapopanda.Hii ameionyesha ndugu yangu hapa Petit man mbio zake za maisha zinakwea mnazi siku hadi siku hapa sasa anakwenda kama meneja wa ferouz big up wish u all the best ma young bro.